Mazishi ya marehemu Bi. Asha Bakari Makame yaliyofanyika leo asubuhi katika...
Viongozi mbali mbali wakishiriki mazishi ya marehemu Bi. Asha Bakari Makame yaliyofanyika leo asubuhi katika makaburi ya Kianga Wilaya ya Magharibi Unguja. Miongoni mwa viongozi hao ni pamoja na Rais...
View ArticleAmazon’s Dash Button Exemplifies IoT Laziness
What to do with all the power of the internet coursing through your home? Order laundry detergent. This week, Amazon expanded its Dash Button (the launch was last year to a select number of invited...
View ArticleFisher-Price Teaches the Next Generation of Designers
Among the hundreds of creations unveiled at this year’s CES, one seemed slightly out of place: the Code-a-Pillar , a toy designed by Fisher-Price to teach children the basics of coding. Kids can...
View ArticleA Breakdown of Class D Amplifiers
What’s a Class D Amplifier? A Class D Amplifier is basically a switching amplifier, or PWM amplifier. Compared to Class A, AB, and B amplifiers, the output-stage power dissipation in a Class D...
View ArticleMagazeti Ya Leo Jumapili Ya Leo Januari 24
[via LEKULE] Follow us @automobileheat – lists / @sectorheat
View ArticleLowassa Apata Mapokezi Makabuwa Dakawa Wakati Akiwa Njiani Kuelekea Dodoma
Aliyekuwa mgombea Urais katika uchaguzi wa Oktoba mwaka jana kwa tiketi ya UKAWA, Edward Lowassa jana alipata mapokezi makubwa kwa wakazi wa mnada wa Dakawa baada ya kusimama na kuwasalimia....
View ArticleWatu wawili Wafariki Dunia na Wengine 36 Wajeruhiwa katika Ajali ya Basi la...
Watu wawili wamefariki dunia na wengine 36 kujeruhiwa, kati yao wanne vibaya baàda ya basi walilokuwa wakisafiria kutokea jijini Dar es Salaam kuelekea Morogoro, mali ya kampuni ya BM kuligonga...
View ArticleAmiri Jeshi Mkuu Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Dkt. John Pombe...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 23 Januari, 2016 ametunuku kamisheni kwa Maafisa wapya 205 wa jeshi la wananchi kundi la 57/15 katika...
View ArticleMrembo wa UDSM Aliyedaiwa kuwa Msukule Uliokutwa Kwenye Shimo la...
Picha zinazomuonesha mwanamke aliyekutwa kwenye shimo la mfanyabiashara mmoja jijini Dar es Salaam akiwa katika hali ya kutisha zimetumiwa kufanya upotoshaji kwa kumzushia msichana mmoja wa Chuo Kikuu...
View ArticleJokate na Ali Kiba Wamwagana
Mastaa wawili wenye majina makubwa Bongo ambao walikuwa wachumba walioshibana, Jokate Urban Mwegelo ‘Kidoti’ na Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ wanadaiwa kumwagana, Habari ya mjini kwa sasa ni juu ya...
View ArticleUVCCM Mkoa wa Vyuo Wampa Makavu Benard Membe Kwa Kumponda Rais Magufuli
SHIRIKISHO LA VYUO VYA ELIMU YA JUU TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Ndugu waandishi wa habari, nimewaita hapa kuelezea masikitiko makubwa kutokana na kauli za hivi karibuni za aliyekuwa waziri wa mambo...
View ArticleJanuary Makamba Awafuta Kazi Vigogo Watatu wa Baraza la Taifa la Hifadhi na...
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUIMARISHA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YA BARAZA LA TAIFA LA HIFADHI NA USIMAMIZI WA MAZINGIRA-NEMC Katika kikao kilichoitishwa na Mhe. January Makamba (Mb), Waziri wa Nchi Ofisi...
View ArticleDiamond Platnumz: Baada Ya Nape Nnauye Mimi Ndo Waziri wa Habari Na Michezo...
Diamond Platnumz amesema akiachana na muziki anataka kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ili kuweka vitu sawa na kutoa fursa zaidi kwa vijana. Akizungumza katika kipindi cha Papaso cha...
View ArticleMiaka mitano ya vuguvugu la mageuzi Misri
Rais Abdel Fattah el-Sissi wa Misri akilihutubia taifa Wamisri wanaadhimisha miaka mitano tangu lilipopiga wimbi la vuguvugu la maandamano ya umma lililomng’oa madarakani mtawala wa muda mrefu Hosni...
View ArticleKatibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Meja Jenerali Rwegasira Ataka...
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Projest Rwegasira amewataka viongozi wakuu wa Jeshi la Polisi nchini kuhakikisha wanawachukulia hatua kali askari polisi wenye tabia ya...
View ArticleMbunge wa CHADEMA Atimuliwa Kwenye kikao na Polisi
Mbunge wa Kilombero, Peter Elijualikali jana alijikuta akitolewa nje ya kikao cha Halmashauri ya Kilombero na jeshi la polisi kwa amri ya Mwenyekiti wa kikao hicho kwa madai kuwa sio mjumbe halali wa...
View ArticleVladmir Putin na kashfa ya rushwa
Vladmir Putin, rais wa Urusi Wizara ya Fedha ya Marekani imeiambia BBC kuwa rais wa Urusi Vladmir Putini anakula rushwa.Tayari serikali ya Marekani imeshawawekea vikwazo wasaidizi wa rais Putin na...
View ArticleCAR: Uchaguzi wa wabunge wafutwa
Afisa wa Tume ya Uchaguzi akihesabu kura baada ya kufungwa kwa kituo cha kupigia kura katika mji wa Bangui, Desemba 30, 2015. Na RFI Duru ya kwanza ya uchaguzi wa wabunge nchini Jamhuri ya Afrika ya...
View ArticleWatumishi wa Umma mnakumbushwa tena kuvaa beji zenye majina yenu.
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue ameagiza na kusisitiza ofisi zote Umma kusimamia na kuhakikisha kuwa hadi kufikia mwishoni mwa mwezi Machi mwaka huu kila watumishi awe na kitambulisho (beji)...
View ArticleMahakama Kuu ya Ardhi yaweka zuio la siku 60 nyumba za mabondeni zisibomolewe
Mbunge wa Kinondoni, Maulid Mtulya akipata maelezo kutoka kwa wakili anayesimamia kesi ya Msingi kwa wakazi wa Mabondeni kupinga kubomolewa nyumba zao, muda mfupi baada ya Jaji wa Mahakama Kuu ya...
View Article