Tanesco Yazuia Shughuli za Kilimo Karibu na Nguzo
SHIRIKA la Umeme (Tanesco) limetoa angalizo kwa wanaoendesha shughuli za kilimo, kwa kuwaambia hawatakiwi kulima karibu na nguzo kwani wanapaswa kuacha meta 30 kila upande. Meneja wa Tanesco wa Mkoa...
View ArticleOfisi ya Kamishna Mkuu TRA Yavunjwa, Kompyuta Mbili Zaibiwa
Watu wasiojulikana wamevamia na kuvunja ofisi ya kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na kuiba kompyuta na vifaa vingine. Habari tulizozipata ambazo zimethibitishwa na Polisi...
View ArticleOfficial VIDEO | Mzee Yusuf Ft. Vanessa Mdee – Mashallah
[via LEKULE] Follow us @automobileheat – lists / @sectorheat
View ArticleWaziri Mkuu Awasili Mjini Dodoma Kuhudhuria Vikao Vya Bunge …..Afanya...
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma,Chiku Galawa baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma January 20, 2016 ambako pamoja na mambo mengine anatarajiwa...
View ArticleRais Magufuli Amng’oa Eliakim Maswi TRA Na Kumrudisha Manyara ….Awafuta Kazi...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewasimamisha kazi Kamishna Mkuu wa Uhamiaji Bwana Sylvester Ambokile na Kamishna wa Uhamiaji anayeshughulikia Utawala na fedha Bwana...
View ArticleTaarifa Kwa Vyombo Vya Habari Kuhusu Ziara Ya Katibu Mkuu (mawasiliano) Ya...
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano anayeshughulikia Mawasiliano Prof. Faustin Kamuzora alifanya ziara ya kutembelea Shirika la Posta Tanzania ili kufahamu utendaji kazi na...
View ArticleUteuzi anaofanya Rais Magufuli umemfikia mpaka mstaafu JK leo.
Alhamisi January 21 2016 ni siku nyingine ambayo Rais Magufuli kaendelea na moja ya majukumu yake kama Rais wa nchi, jukumu la leo ni kwamba kaendelea na uteuzi wa viongozi kwenye nafasi...
View ArticleJifunze Kutengeneza Pipi Za Kihindi ,uongeze Kipato Chako.
==> Wewe ni kijana wa kitanzania ? ==> Unataka kuongeza kipato chako ? Kama jibu lako ni NDIO basi hii ni HABARI NJEMA SANA KWAKO. Taasisi ya NEEMA INSTITUTE OF N.G.O...
View ArticleWaziri Mkuu Aagiza TAMISEMI Isimamie Vizuri Mikoa, Halmashauri
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) ndiyo kitovu cha nchi na kwamba kila Mtanzania ameelekeza jicho lake pale kwa sababu anasubiri...
View ArticleBreaking News: Baraza la Mitihani ( NECTA ) Latangaza Matokeo ya Darasa la...
Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), limetangaza matokeo ya mitihani ya kujipima ya darasa la nne huku matokeo hayo yakionyesha wanafunzi wengi wamefeli katika somo la Kiingereza kwa asilimia 65.67...
View ArticleWaziri Wa Afya Aikaba Koo Bohari Kuu ya Dawa nchini (MSD)
WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummi Mwalimu ameiagiza Bohari Kuu ya Dawa nchini (MSD) kujenga maduka ya dawa katika kila Hospitali ya mkoa hapa nchini kabla ya Mei na...
View ArticleChina kusaidia ukuaji wa sekta za Habari, Filamu na Sanaa nchini
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Bibi. Zamaradi Kawawa (kulia) akimkaribisha ukumbini Naibu Waziri wa Habari, Utangazaji na Utamaduni wa Serikali ya Jamhuri ya watu wa China Mhe. Tian Jin...
View ArticleEnter These Hardware Contests Now
Turn your ideas into cash. These contests are open to everyone, not just students. Arduino Maker Challenge The dev board maker’s contest has been extended to the end of the month. You could win one of...
View ArticleMagazeti Ya Leo Ijumaa Ya Januari 22
[via LEKULE] Follow us @automobileheat – lists / @sectorheat
View ArticleBurundi: Jenerali Niyombare ateuliwa kuongoza kundi la waasi
Jenerali Godefroid Niyombare aliyeongoza jaribio la mapinduzi ya kijeshi yaliotibuliwa, Mei 13 hadi jioni Na RFI Kundi jipya la waasi nchini Burundi FOREBU lililoundwa hivi karibuni kwa minajili ya...
View ArticlePicha: Rais Magufuli Atua Jijini Arusha Kwa Kishindo……Aahidi Kuendelea...
RAIS John Magufuli ametoa mwito kwa Watanzania kumuombea ili aendelee kuwashughulikia wote wanaofanya ubadhirifu wa fedha za umma kupitia kampeni yake ya kutumbua majipu. “Nataka niwahakikishieni kuwa...
View ArticleKardinali Pengo Aruhusiwa Kutoka Muhimbili
Askofu Mkuu wa Jimbo Katoliki la Dar es Salaam Mwadhama Kardinali Polycarp Pengo aliyekuwa amelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, Muhimbili ameruhusiwa baada ya afya yake kuimarika. Kaimu...
View ArticleMakusanyo ya Halmashauri Nchini Yaongezeka kwa 800% Baada ya Kuanza Kutumia...
Makusanyo ya mapato katika halmashauri nchini, yameongezeka kufikia asilimia 800 hadi 900 baada ya kuanza kutumika kwa mfumo wa kukusanya mapato kwa njia ya kielektroniki katika halmashauri 164. Hayo...
View ArticleUKAWA wasusia Kamati za Bunge Na Kugomea Uchaguzi……… Zitto Kabwe awaponda wao...
Wakati vikao vya Kamati za Kudumu za Bunge vikitarajiwa kuanza leo kwa uteuzi wa wajumbe, wabunge wa upinzani tayari wameanza kwa kumtikisa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, Job Ndugai, baada ya...
View ArticleSimbachawene Aapa Kuweka Historia Mpya …..Asema Ndani Ya Miaka Miwili Hakuna...
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), George Simbachawene amesema atahakikisha shule zote hapa nchini zinakuwa na madawati yanayofanana. Alisema hayo jana...
View Article