Quantcast
Channel: AutomobileHeat » css
Browsing all 1303 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Majaliwa atoa heshima za mwisho kwa Mwanasheria wa Bunge

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitoa heshima za mwisho kwa  aliyekuwa Mshauri Mkuu wa Masuala ya Sheria wa Bunge, marehemu Oscar Mtenda  nyumbani kwa marehemu mjini Dodoma Januari 26, 2016. (Picha na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TRA yawaomba wananchi kutoa ushirikiano

Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipa Kodi (TRA), Richard Kayombo. Na Jacquiline Mrisho – MAELEZO Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) yawaomba wananchi kutoa ushirikiano kwa kutoa taarifa za Maafisa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vyama vya Siasa vyaaswa kushiriki uchaguzi wa Zanzibar

Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Mhe.Jaji Francis Mutungi. (Picha na Maktaba). Na mwandishi wetu Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Mhe.Jaji Francis Mutungi ameviasa Vyama vya Siasa kushiriki chaguzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkataba wa Schengen huenda ukasimamishwa kwa muda

Umoja wa Ulaya unasema mkataba wa eneo la Schengen, huenda ukasimamishwa kwa hadi miaka miwili ikiwa utashindwa katika wiki chache zijazo kudhibiti mmiminiko wa wahamiaji kutoka Mashariki ya Kati na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wapambe Wa Wassira Kukata Rufaa Kupinga Hukumu Ya Mahakama Kuu Iliyohalalisha...

Baada ya Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Mwanza, kuipiga chini kesi iliyokuwa ikimkabili mbunge wa Bunda Mjini (Chadema), Esther Bulaya, wadai katika kesi hiyo wanatarajiwa kupinga uamuzi huo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Amuua Mwenzake Kwa Kipigo Baada Ya Kumkuta Akimtongoza Dada Yake

Mkazi wa kijiji cha Kalovya – Inyonga wilayani Mlele, Ramadhani Ally (20) amefariki dunia akipatiwa matibabu hospitalini baada kupigwa  na  kijana  mwenzake. Akizungumzia  tukio hilo, Kamanda wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hotel ya Mtoto wa Amani Karume yateketea kwa moto, Vijana wawili wahusishwa

Moto mkubwa umeteketeza hoteli ya kitalii ya Konokono Beach Resort iliyoko Michamvi mkoa wa kusini Unguja, inayomilikiwa na mtoto wa rais wa zamani wa Zanzibar, Amina Karume pamoja na wawekezaji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Amteua Paul Chagonja kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Katavi

==> Paul Chagonja Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa Makatibu Tawala wawili wa mikoa ya Mwanza na Katavi ili kujaza nafasi za Makatibu Tawala wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Chenge Awapa Somo Wabunge Kuhusu Matumizi ya Kanuni Za Bunge….Ni Baada ya...

Mwenyekiti wa kikao cha Bunge ambaye pia ni Mbunge wa Bariadi Magharibi Andrew Chenge maarufu kwa jina la Mtemi amewataka wabunge kujifunza kwa umakini namna bora ya kutumia kanuni za Bunge....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu: Tutahakikisha Nidhamu Inarudi Serikalini

Waziri mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa Majaliwa,amesema serikali imeweka msisitizo katika kuhakikisha inarudisha nidhamu kwa watumishi wa umma kwa kuweka mkazo katika uadilifu, uwajibikaji, kutoa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM Yaipongeza ZEC Kutangaza Tarehe Ya Marudio Ya Uchaguzi Zanzibar...

CHAMA cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar  kimeelezea kuridhishwa kwake na maamamuzi ya Tume ya uchaguzi Zanzibar (ZEC) kwa kutangaza siku ya kufanyika kwa uchaguzi wa marudio kwa nafasi ya Urais, Uwakilishi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Awaapisha Balozi Na Makatibu Tawala Wawili…..Amtuea Luteni...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, leo tarehe 30 Januari, 2016 amewaapisha Balozi, Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Wananchi Tanzania na Makatibu Tawala wawili, Ikulu Jijini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nchi 12 Za Ulaya na Marekani Zalaani Tume Ya Uchaguzi Zanzibar Kutangaza...

Mabalozi wa nchi zinazounda Umoja wa Ulaya (EU) wameeleza kusikitishwa na kitendo cha Tume ya Uchaguzi (ZEC) kutangaza tarehe ya marudui ya Uchaguzi wakati mazungumzo ya kutatua mgogoro yakiendelea na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Balozi Amina Salum Ali Amuomba Seif Sharif Hamad Kufikiria Upya Uamuzi Wa...

Kada aliyegombea urais kwa tiketi ya CCM, Amina Salum Ali amesema mgogoro wa kisiasa Zanzibar hautakwisha hata baada ya Uchaguzi wa marudio kwa kuwa ni wa kihistoria na baadhi ya viongozi hawana nia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mahakama yamfutia kesi mtuhumiwa wa kupokea fedha za akaunti ya Tegeta Escrow

Aliyekuwa Ofisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA), Philip Saliboko, ameachiwa huru katika shtaka la kutuhumiwa kuwa alipokea rushwa ya Sh milioni 40.4 kutoka kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

INAUMA: Majangili Waitungua Helkopta na Kumuua Rubani Capt. Roger Katika...

Watu wanaodaiwa kuwa ni majangili na wawindaji haramu wameitungua kwa risasi helkopta ya doria ya wanyamapori katika pori la akiba la maswa lililoko wilaya ya Meatu mkoani Simiyu kusini mwa hifadhi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Jumapili ya Januari 31

[via LEKULE] Follow us @automobileheat – lists / @sectorheat

View Article


Toka Bungeni: Nyumba 3500 Kujengwa kwa Ajili ya askari Polisi

Serikali inakamilisha taratibu zakupata mkopo toka serikali ya China bilioni 500 kwaajili ya ujenzi wa nyumba 3500 za askari wa jeshi la polisi nchini kufikia mwaka 2025. Naibu Waziri wa Mambo ya...

View Article

Toka Bungeni: Serikali Yaahidi Kuboresha Huduma Za Afya…….Wauguzi Wanaotoa...

Serikali imejipanga kutoa huduma bora za afya kwa wananchi kwa kuwawezesha kila mwananchi kupata Bima ya Afya itakayosaidia kupata huduma bora za afya katika zahanati na hospitali mbalimbali. Hayo...

View Article

Kutoka Bungeni: Serikali Kujenga Vyuo Vya VETA kila Wilaya

Serikali kupitia Wizara ya Elimu,Sayansi,Teknolojia na Ufundi  inatarajia kujenga Vyuo vya Ufundi (VETA) kwa kila wilaya ili kutoa fursa kwa wananchi wengi hususani vijana kupata mafunzo mbalimbali ya...

View Article
Browsing all 1303 articles
Browse latest View live