Quantcast
Channel: AutomobileHeat » css
Browsing all 1303 articles
Browse latest View live

ACT-Wazalendo Wamtaka Spika wa Bunge Kushughulikia Suala la Rushwa Kwa...

CHAMA cha ACT Wazalendo kimepokea kwa masikitiko uamuzi uliofanywa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai, kwa kuhamisha kamati, Wenyeviti, Makamu Wenyeviti na Wajumbe wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Samatta hajakubali kuona rekodi ya Tanzania ikivunjwa na Chad mikononi mwake

Timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars March 23 imeshuka katika dimba la Idriss Mahamat kucheza na wenyeji wao timu ya taifa ya Chad katika muendelezo wa michezo ya makundi ya kuwania kufuzu michuano...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maamuzi mengine leo kutoka kwa Waziri wa Magufuli

March 23 2016 Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto ime kutana na Baraza la Wazee wa Dar es salaam na kusikiliza changamoto zinazowakabili katika jamii. Katika kutatua changamoto...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Usitarajie kumuona Ibrahimovic Man United kama mambo yataendelea kuwa hivi …

March 25 starsport wamerudisha jina la Zlatan Ibrahimovic kwenye headlines za kutaka kujiunga na klabu ya Man United ya Uingereza akitokea Paris Saint Germain ya Ufaransa . Jina la Zlatan safari hii...

View Article

Makusanyo TRA yashuka

Kiwango cha ukusanyaji wa mapato ya serikali yanayotokana na kodi mbalimbali kimeshuka kati ya Desemba mwaka jana na mwezi huu. Itakumbukwa kuwa Novemba mwaka jana, makusanyo ya Mamlaka ya Mapato...

View Article


Rais Magufuli atajwa mgogoro Chuo cha Ualimu Mpwapwa

RAIS John Magufuli anatajwa kuwa mwenye suluhu katika mgogoro unaoendelea katika Chuo cha Ualimu Mpwapwa kilichopo Dodoma, anaandika Dany Tibason. Mgogoro huo unamuhusisha Victoria Komanya, mkufunzi...

View Article

Watu Wawili Wauawa Na Majambazi Jijini Mwanza. Wengine Saba Wajeruhiwa.

Watu wawili wameuawa Jijini Mwanza kwa kupigwa risasi na Majambazi, huku Wengine saba wakijeruhiwa katika tukio la uvamizi wa duka lililokuwa likitoa huduma mbalimbali za kifedha. Kamanda wa Polisi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ronaldo ashindwa na penalti

Mshambuliaji wa Real Madrid Cristiano Ronaldo alikosa penalti kwa mara ya pili mfululizo huku timu yake Portugal ikipoteza nyumbani dhidi ya Bulgaria katika mechi ya kirafiki. Marcelinho alifunga bao...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zika: Marekani yawashauri wanaume na wanawake

                      Mama aliyejifungua mtoto mwenye maradhi ya Zika Idara ya Afya nchini Marekani imetoa ushauri mpya kuhusiana na uja uzito na virusi vya Zika. Idara hiyo kwa sasa inapendekeza kuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Usmanov: Arsenal ”inamuhitaji” Arsene Wenger

Arsenal ”inamuhitaji” Arsene Wenger hivyobasi mkufunzi huyo wa The Gunners ana uwezo wa kumchagua mrithi wake wakati atakapoondoka,kulingana na mwanahisa mkuu wa klabu hiyo Alisher Usmanov. Wenger pia...

View Article

Mtoto wa Siku Moja Aibwa Hospitali ya Rufaa ya Bugando

Mtoto wa siku moja ameibwa katika mazingira ya kutatanisha katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando, akiwa pembeni mwa mama yake aliyekuwa amelala, mwenye umri wa miaka 16. Akizungumzia uporaji huo jana,...

View Article

Serikali Ya Tanzania Haina Mpango Kwa Kuteketeza Meno Ya Tembo Yaliyohifadhiwa

Serikali ya Tanzania imetoa tamko kuwa kwa sasa haina mpango wowote wa kuteketeza meno ya tembo yaliyohifadhiwa ambayo yametokana na vitendo vya ujangili na vifo asilia vya tembo. Tamko hilo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sanders amshinda Clinton Washington

Image copyright AFP Image caption Sanders amshinda Clinton Washington Mgombea wa kiti cha urais wa Marekani katika chama cha Democtrats bwana Bernie Sanders ameshinda majimbo mengine mawili katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

EL CLASICO Ipo njiani ni april 2 ndani ya nou camp

APRIL 2 Wanasema hatumwi mtoto dukani katika nchi ya hispania,ni ligi maarufu inayoitwa La liga ni watawala wakuu wa nchi hiyo barcelona na maadui zao real madrid.Katika mechi ya mwisho timu ya...

View Article

kiama kumfikia memphis depay mara ifikapo mwisho wa msimu kwa kutemwa na timu...

Winga wa Manchester United Memphis Depay ataondoka msimu huu hii imeripotiwa na  ‘The sun’   kuwa winger huyo ameshindwa kufikia matakwa ya timu hiyo ya mji wa Manchester Depay alitazamiwa kuwa ndiye...

View Article


Utafiti: Wanawake Wanne Kati ya 10 Wanaofanya Biashara ya Ngono Wana UKIMWI

Utafiti uliofanywa na Shirika lisilo la kiserikali linalojihusisha na upimaji wa virusi vya Ukimwi la MATUMAINI, unaonyesha kuwa kati ya wanawake kumi wanaofanya biashara ya ngono wanaopima wanne kati...

View Article

Zaidi ya Wafanyakazi 400 wa TTCL Kupoteza Ajira

Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) ipo kwenye maandalizi ya kupunguza wafanyakazi wasiohitajika kwa sasa kutokana na kasi ya mabadiliko ya sayansi na teknolojia. TTCL inayotoa huduma za simu na pia kutoa...

View Article


Rais Magufuli Amuapisha Mkuu Wa Mkoa Mpya Wa Songwe Mhe. Chiku Gallawa Ikulu...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akimuapisha Luteni Mstaafu Chiku Gallawa kuwa mkuu wa mkoa mpya wa Songwe Ikulu jijini Dar es salaam leo Machi 28, 2016  Rais wa...

View Article

Dk Shein amteua Balozi Seif Ali Idd Kuwa Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar

Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein amemteua Balozi Seif Ali Idd kuwa Makamu wa Pili wa Rais wa visiwa hivyo. Kwa mujibu wa mamlaka aliyopewa chini ya kifungu cha 39 (2) cha...

View Article

Taarifa ya ACT-Wazalendo:Uamuzi Wa Bodi Ya Wakurugenzi Ya MCC Wa Kusitisha...

 TAARIFA KWA UMMA UAMUZI WA BODI YA WAKURUGENZI YA MCC WA KUSITISHA MAHUSIANO NA TANZANIA YATAWAUMIZA WANANCHI WA VIJIJINI CHAMA cha ACT-Wazalendo kimeupokea kwa masikitiko makubwa uamuzi wa Bodi ya...

View Article
Browsing all 1303 articles
Browse latest View live