Use of Condensers in Thermal (Steam) Power Plants
The use of condensers in thermal power plant or steam power plant improves the efficiency of the power plant by decreasing the exhaust pressure of the steam below the atmosphere. Another advantage of...
View ArticleRankine Steam Power Cycle advanatges in Thermal power plant
Rankine power cycle Organic Rankine power cycle is the simplest and most efficient steam power plant cycles for power generation. This power plant steam cycle is named after William Rankine a Trained...
View ArticleSHAMBULIZI LA PARIS: Polisi wasema kuna mshambuliaji mmoja wa tukio hilo...
Wanahabarina mashabiki wa soka wakiwa wamejikusanya ndani ya uwanja huo wa mpira ambao nje kulitokea mlipuko huo wa mabomu uliouwa watu zaidi ya 120 usiku wa Novemba 13.2015 katika jiji la Paris. Na...
View ArticleWaziri Mkuu hachaguliwi kwa kura za maoni wala kwa mitandao ya kijamii –...
Mbunge Mteule wa Jimbo la Kyela, Dkt. Harrison Mwakyembe. Na Lilian Lundo, MAELEZO-DODOMA Mbunge Mteule wa Jimbo la Kyela, Dkt. Harrison Mwakyembe amesema Waziri Mkuu wa Serikali ya Awamu ya Tano ya...
View Article#HapaKaziTu: Mbunge mteule wa jimbo la Mtama, Nape Nnauye aanza kutekeleza...
Mbunge mteule wa Jimbo la Mtama, Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape akisaini mkataba wa kupata vifaa vya huduma za afya mbele ya Mwambata wa Siasa wa Ubalozi wa China nchini Tanzania Mis Song Rui...
View ArticleKaribu leo Escape One ucheze mziki mzuri na bendi yako ya Skylight!
Sony Masamba akichana mistari na mashabiki wa Skylight Band wakiendelea kuzirudi huku Joniko Flower, Sam Mapenzi na Kasongo Junior wakimsikindiza kwa miondoko ya aina yake. Hakika hii sio ya kukosa...
View ArticleWatanzania tuache kufanya kazi kwa Mazoea, Rais Dk.Magufuli tembelea na huku!
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli alipotembelea kwa mara ya kwanza Wizara ya Fedha, safari ambayo ilikuwa ni ya ghafla. [TANZANIA] Kwa sasa kila zungumzo la Mtanzania ni juu...
View ArticleACT wafanikiwa kuchukua kiti kingine cha Udiwani Kagera!
[TANZANIA] Chama cha ACT upitia mtandao wake wa Twitter wametaarifu kuwa chama hicho kimefanikiwa kutwaa nafasi ya kiti cha Udiwani kupitia Kata ya Kagera, iliyopo katika mji wa Kigoma Ujiji, Mkoani...
View ArticleTamasha la kumshukuru Mungu sasa kufanyika Desemba 25 Diamond Jubilee
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama akifafanua jambo kwa umakini mbele ya Waandishi wa habari (hawapo pichani) jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki kuhusu maandalizi ya tamasha la...
View ArticlePolisi Wapiga Mabomu ya Machozi Hospitali ya Bugando Kuwatawanya Wafuasi wa...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza, jana lililazimka kupiga mabomu ya macho katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando (BMC), kuwatawanya wafuasi wa Chadema waliokuwa wameupokea mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa...
View ArticleBreaking News: Job Yustino Ndugai Achaguliwa Kuwa Spika wa Bunge la 11 La...
Wabunge wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania leo Mjini Dodoma wamemchagua mheshimiwa Job Yustino Ndugai kuwa spika wa bunge la Jamhuri wa muungano wa Tanzania. Katibu wa Bunge Mh Dkt Thomasi Kashilila...
View Article“Afya bora inaanza na kifungua kinywa bora” wito kutoka hospitali za Apollo...
Dk. Bhuvaneshwari Shankar, M kuu wa idara ya lishe kutoka hospitali za Apollo. Novemba 14 kila mwaka tunaadhimisha siku ya kisukari duniani ili kuongeza uelewa kuhusu madhara ya kisukari, matatizo...
View ArticleValves
Abbreviations and Terminology: FC: Fail closed FL : Fail locked FO : Fail open MOV: Motor Operated Valve PRV : Pressure Relief Valve PSV : Pressure Safety Valve SOV : Solenoid Operated Valve Armature:...
View ArticleKampuni ya LETSHEGO/Faidika yapata asilimia 75 ya hisa katika benki ya Advans...
Mtendaji Mkuu wa Afrika Mashariki wa kampuni ya Letshego, Bwana Tom Kocsis akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa utambulisho mpya wa kununua hisa asilimia 75 za benki ya Advans...
View ArticleRais Magufuli Asaini Kitabu cha Maombolezo katika Ubalozi wa...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akisaini kitabu cha Maombolezo katika Ubalozi wa Ufaransa jijini Dar es salaam kufuatia vifo vya Watu zaidi ya 120 vilivyotokana...
View ArticleUKAWA Kumpokea Rais Magufuli Bungeni Kwa Staili Mpya
Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), umesema utakuja na stahili mpya wakati Rais Dk. John Magufuli, atakapokwenda kuzindua na kuhutubia Bunge Novemba 20, mwaka huu. Umesema staili watakayoitumia...
View ArticleUteuzi wa Waziri Mkuu: Spika Job Ndugai Kukabidhiwa Bahasha ya Jina La Waziri...
Baada ya wabunge kumchagua Mbunge wa Kongwa, Job Ndugai kuwa Spika wa Bunge la 11 jana, anayesubiriwa ni Waziri Mkuu mpya ambaye anatarajiwa kujulikana kesho Kwa mujibu wa ratiba ya vikao vya Bunge,...
View ArticleUNAIBU SPIKA: Wabunge Wa CCM Wamchagua Dk. Tulia Ackson Kugombea Nafasi Hiyo
Kikao cha Kamati ya wabunge wa CCM kilichofanyika usiku wa kuamkia leo katika ukumbi wa NEC maarufu kama Whitehouse kimempitisha Dkt Tulia Ackson Mwansasu kuwa mgombea wa Chama Cha Mapinduzi katika...
View ArticleTrafiki 78 watimulia kwa utovu wa nidhamu
Kamanda wa Polisi Mkoani Mwanza, Kamishina Msaidizi wa Polisi, Charles Mkumbo ASKARI 78 wa usalama barabarani Mkoa wa Mwanza, wameondolewa katika nafasi zao na kupangiwa kazi nyingine katika vitengo...
View ArticleRaia wa Mexico wanaihama Marekani
Rais wa Mexico Pena Nieto Utafiti ulioendeshwa nchini Marekani unaonyesha raia wengi wa Mexico wanaondoka kwenye taifa hilo kubwa zaidi ulimwenguni ukilinganisha na idadi ya wanaoingia nchini...
View Article