Quantcast
Channel: AutomobileHeat » css
Browsing all 1303 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

The New Rolls-Royce Dawn!

A striking, seductive encounter Dawn is a Rolls-Royce that feels completely at home on the Route Napoleon. It is a contemporary homage to a life on the Cte dAzur. The car is a contemporary take on the...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Barua ya wazi kwa Rais Dr. John Pombe Magufuli kutoka kwa mdau wa Usalama...

Ndugu Rais wa Jamhuri ya Muungano, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, nachukua fursa hii kukupongeza kwa kuchaguliwa kuliongoza taifa letu la Tanzania kama Rais wa awamu ya tano. Nianze barua...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo afanya ziara...

Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Prof Elisante Ole Gabriel(aliyekaa mwenye miwani) akipata maelekezo jinsi gazeti linavyotengenezwa kutoka kwa mtumishi wa Standard News Papers...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM Yazoa Viti Maalum Vya Udiwani 1021……Wapinzani 371

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), imetangaza idadi ya viti maalum kwa nafasi ya udiwani kwa kila chama.   Chini ya mgawo huo, Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimeongoza kwa kupata viti 1,021 na upinzani...

View Article

Piezoelectricity

In 1880, Jacques and Pierre Curie discovered an unusual characteristic of certain crystalline minerals: when subjected to a mechanical force, the crystals became electrically polarized. Tension and...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAVICHA Yawataka Wabunge wa UKAWA Kupigania Katiba Mpya

Wabunge wapya kutoka Umoja wa Katiba ya Wananchi  (Ukawa) wanaotarajia kuingia Bungeni wiki ijayo wametakiwa kupigania kupatikana kwa katiba mpya itakayowezesha kupatikana kwa tume huru ya taifa ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kortini kwa mauaji ya polisi na raia Stakishari

Idadi ya washtakiwa waliofikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kujibu mashtaka saba ya mauaji ya maofisa wanne wa polisi na raia watatu katika kituo cha jeshi hilo cha Stakishari, imeongezeka hadi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lowassa Kuongea na Watanzania Leo jijini i Arusha

Aliyekuwa mgombea wa urais wa Chadema, Edward Lowassa anatarajia kuhutubia mkutano wa kumnadi mgombea wa ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Godbless Lema na kuwashukuru Watanzania kwa kura walizompa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maalim Seif azugumza na Balozi wa EU na viongozi wa UKAWA….Atoa Msimamo Mzito

Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, amerejea kauli yake ya kutotambua kufutwa kwa uchaguzi mkuu wa Zanzibar uliofanyika tarehe 25 mwezi uliopita. Akizungumza na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Haya ndio maamuzi mapya ya mahakama kuhusu katibu mkuu wa zamani wa Simba

Baada ya kusota rumande kwa zaidi ya miaka mitatu hatimaye Mwenyekiti wa Chama cha Soka Pwani (Corefa), Hassani Othman maarufu kama Hasanoo ameachiwa huru kwa dhamana katika Mahakama ya Kisutu....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Anne Makinda Aukimbia Uspika…..Aingia Mitini Dakika za Mwisho Licha ya...

Aliyekuwa Spika wa Bunge la Kumi, Anne Makinda ameamua kukaa kando ya mbio za Uspika wa Bunge la 11, siku chache baada ya kufanya kampeni kuwania nafasi hiyo kwa mara nyingine. Taarifa za kuaminika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ITAZAME NEW VIDEO: Joh Makini Ft AKA – Don’t Bother

[via LEKULE] Follow us @automobileheat – lists / @sectorheat

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zaidi ya watu 120 wameuwa baada ya tukio la kuvamiwa kwa jiji la Paris na...

Vikosi vya uokoaji wakiendelea na kutoa huduma wakati wa tukio hilo usiku wa kuamkia leoo katika jiji la Paris, nchini Ufaransa.   [PARIS] Watu zaidi ya 120 wameuwa na watu wanaodhaniwa kuwa magaidi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dk Hellen Kijo-Bisimba Kupelekwa India kwa Matibabu

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dk Hellen Kijo-Bisimba anatarajia kusafirishwa kwenda nchini India kwa ajili ya matibabu zaidi. Novemba 7, mwaka huu Dk Bisimba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dr Magufuli Aifumua Ikulu…..Aipanga upya Kwa kupunguza Ofisi na Watendaji

Rais John Magufuli amezifumua na kuziunda upya baadhi ya ofisi za Ikulu ya Magogoni, Dar es Salaam pamoja na kuwaondoa baadhi ya watumishi ambao hawana ulazima katika mfumo wa utumishi wa Ikulu....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA Atoa Kauli Kuhusu Mauaji ya Mwenyekiti wa Chadema Geita Aliyeuawa Kwa...

Katika Ukurasa Wake wa Facebook Lowassa ameandika Haya Kuhusu Kifo cha Mwenyekiti wa Chademe Mkoani Geita: “Nimeshtushwa na kusikitishwa na taarifa za msiba wa kijana wetu Alphonce Mawazo, Natoa pole...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uchaguzi Mkuu Zanzibar Wavunja Ndoa 4

Athari  za uchaguzi mkuu wa Oktoba 25, zimeanza kujitokeza Zanzibar ambapo jumla ya wanawake wanane wamepoteza ndoa zao baada ya kulazimishwa kupiga kura kinyume na matakwa yao, kinyume na demokrasia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Halmashauri Zakumbushwa Shule Kuachana na Michango

HALMASHAURI za jiji la Dar es Salaam zimetakiwa kutenga fungu ili kusaidia kupunguza michango mashuleni na kuendana na agizo lililotolewa na rais kuhusu elimu kutolewa bure kuanzia mwaka 2016....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Manufaa mengi ya mende kwa binadamu

Mende wana manufaa mengi sana kwa binadamu Mende huchukiwa sana na watu na huhusishwa na uchafu na maradhi. Lakini wajua kwamba wadudu hawa wana manufaa makubwa sana kwa binadamu? Mjini Havana, nchini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtoto akataa kumpigia kura mama yake

Jagadamma alikuwa akiwania udiwani kupitia chama tawala cha BJP Mwanamume mmoja nchini India ameshangaza wengi baada ya kukataa kumpigia kura mamake uchaguzini. Mwanamke huyo Jagadamma Kumar alikuwa...

View Article
Browsing all 1303 articles
Browse latest View live